Sehemu ya wageni waalikwa(meza kuu) katika pozi
Mheshimiwa Balozi Rupia akitoa neno la shukurani kwa Mgeni Rasmi na waalikwa wote katika mahafali hiyo.
Mgeni Rasmi akiwa katika picha na wanafunzi wa vidato tofauti tofauti wa shule hiyo baada ya kumkabidhi ua alilishikilia.
Kisha Mgeni Rasmi akapelekwa kuzindua Jengo la bwalo la chakula (Dinning Hall)
Mhe. Mgeni Rasmi Mama Anne Makinda akizindua Rasmi Jengo la bwalo la chakula la shule hiyo.
Mhe.Balozi wa Seeden Nchini akipikea pongezi za shukurani kutoka kwa Mhe.Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka punde baada ya Mgeni Rasmi Spika wa Bunge (Mama Makinda pichani katikati) kuzindua Rasmi Jengo la bwalo la chakula. Kushoto mwenye miwani ni Mkuu wa Shule hiyo.
Jengo la Bwalo lililozinduliwa
Chini katika picha ni sehemu ya majengo mengine ya shule