January 08, 2013

Toa Maoni, Tupate Katiba Mpya



Ingawa mikutano ya Tume iliyolenga kukusanya maoni binafsi ya wananchi imemalizika, wananchi wanaweza kuendelea kutoa maoni kuhusu Katiba Mpya kupitia:

i. Na. 0774/0767/0715/0787-081508; 
ii. Email - maoni@katiba.go.tz; 
iii. S.L.P. 1681 Dsm au S.L.P. 2775, Zanzibar;
iv. Kupitia tovuti - www.katiba.go.tz; na 
v. Ukurasa huu wa facebook ya Tume. 

               Toa Maoni, Tupate Katiba Mpya