AIRTEL YAINGIA LOLIONDO
Waziri wa Sayansi Mawasiliano na Technojia Prof. Makame Mbarawa akifungua jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa radio ya jamii ya LOLIONDO FM wakati wa hafla maalum ya uzinduzi wa radio kijijini Ololosokwani. Uwekwaji wa redio hiyo ya jamii umezeshwa kwa ushirikiano kati ya Airtel na shirika lisilo la kiserikali UNESCO katika kijiji cha Ololosokwani kilichopo Loliondo Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha. Kulia ni mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Bi, Beatrice Singano na wakwanza shoto muwakilishi wa UNESCO bi Vibeke Jensen
Waziri wa Sayansi Mawasiliano na Technojia Prof. Makame Mbarawa akiujaribu mtambo wa radio kwa kutangaza moja kwa moja (live) kupitia radio ya jamii LOLIONDO FM mara baada kumalizika kwa hafla ya uzinduzi rasmi wa radio hiyo ya jamii iliyowezeshwa kwa ushirikiano kati ya Airtel na shirika la UNESCO katika kijiji cha Ololosokwani kilichopo Loliondo Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha. Waliomzunguka Mhe. Waziri ni wawakilishi Airtel na UNESCO pamoja na wenyeji wa kijiji cha Ololosokwani