JK Atoa WIto Kwa Taasisi Za Kibenki Nchini
Rais kikwete alitoa wito huo tarehe 27/11/2012 kwa Taasisi hizo wakata akihutubia na kufungua mkutano wa 16 unaowakutanisha Wakurugenzi na Viongozi mbalimbali wa Taasisi za Kibenki Hapa nchini. Mkutano huo unafanyika jijini Arusha.