Naibu waziri Mulugo akishangiliwa na wanachama wa chama cha waendesha bajaji mkoa wa Mbeya mara baada ya kuzindua ofisi yao
 |
| Mweshimiwa naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi akiwahutubia wananchi waliofika katika uzinduzi huo |
 |
Hapa mweshimiwa Mulugo akishirikiana na waendesha bajaji katika kucheza na kufurahia uzinduzi wa ofisi hiyo
 |
| Mara baada ya kumaliza hotuba yake akisindikizwa na wanachama wa chama cha waendesha bajaji kwenda kupanda bajaji na kumrudusha akapumzike |
 |
| Safari ya kwenda kupumzika imewadia anarudishwa na bajaji hadi kwakwe |
|
|