Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete akizindua Rasmi Ujenzi wa Barabara ya Mabasi yaendayo Kasi Jijini Dar Es Salaam (DARTS). Mradi huu unadhaminiwa na Benki Ya Dunia na mpaka kukamilika kwake utagarimu zaidi ya dola millioni 240. Uzinduzi huo umefanyika leo Tarehe Sep 19.2012 eneo la Viwanja vya Jangwani Jijini Dar.
Wasiliana nasi: mkakatz@gmail.com +255 786 555 460
September 19, 2012
UZINDUZI WA BARABARA (DARTS) JIJINI DAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete akizindua Rasmi Ujenzi wa Barabara ya Mabasi yaendayo Kasi Jijini Dar Es Salaam (DARTS). Mradi huu unadhaminiwa na Benki Ya Dunia na mpaka kukamilika kwake utagarimu zaidi ya dola millioni 240. Uzinduzi huo umefanyika leo Tarehe Sep 19.2012 eneo la Viwanja vya Jangwani Jijini Dar.