Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiangalia mfano wa jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na maelezo yake baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifunua pazia kufungua rasmi jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya Novemba 28, 2012 jijini Arusha
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIpyTRsjnTROdZMIkhWz5pLv085o5XdAA8S1UHA7dmTux8nDzrIWH6RokllplZ6JtCyi1TVDxNvIBSChgUk3hqRJ0cQD-NX7Y3uqSxTEp5LRcmKuxgZdc791tPAdF-n3PF1qIPB4PjbOL1/s640/ar1.jpg)
Mfano wa jengo la Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki