KARIBU KATIKA UKURASA WA HABARI ZA KIJAMII : BlogTZ
Wasiliana nasi: mkakatz@gmail.com +255 786 555 460
December 08, 2012
AJALI JIJINI MBEYA ZINATISHA!
Sehemu ya mabaki ya gari iliyopata ajali jijini Mbeya na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kuacha wengi majeruhi, tarehe 6 Desemba 2012.
Wananchi wakiwa hawaamini kilichotokea hapo
HAPA PIKIPIKI IMEMPELEKA CHINI KIJANA WA WATU.
Newer Post
Older Post
Home