BERENIKI KIMARO NDIYE MSHINDI WA "MAISHA PLUS 2012"
Alimshukuru babu, Brother Masoud na Crew nzima ya Maisha Plus.. Alimshukuru pia mwanae Kelvin (6yrs) kwa kuvumilia kipindi chote bila kuongea na mama. Alisema Mungu amejibu maombi yake kwani ukipiga goti, maombi yako yatajibiwa..