TASWIRA YA PICHA KUTOKA UFUKWE WA ZIWA VICTORIA
![]() |
Kazi ya kuvua samaki ufukweni mwa maji ya Ziwa (maji baridi/yasiyo na chumvi) ikiendelea kama vijana hawa walivyokutwa wakitafuta vitoweo hivyo ufukweni mwa ziwa Victoria Mkoani Mwanza. |
![]() |
Bado anajaribu mawindo yake kwa umakini kabisa..................... |
![]() |
Huyu ndiye mvuvi wa kesho. |
![]() |
Mvuvi na samaki wake mkononi. |
![]() |
Wavuvi mahiri wa kesho na mazao yao ufukweni. |
![]() |
Wavuvi wakitoka kwenye shughuli za uvuvi ziwa katika ziwa Victoria karibu na Magu mjini mkoani Mwanza. |
![]() |
Mitumbwi ufukweni. |
![]() |
Fuata nyayo lakini chunguza kuwa ni za mnyama gani. |
![]() |
Leo ni 2013 !!!!!!!!!!!!!!!! |