ALIEPATA AJALI NA KUDHANIWA KUWA AMEKUFA, AFUNGA NDOA JIJINI MBEYA JANA
Mungu ni Mkubwa
Hapa bwana harusi akimvisha mkewe pete ya ndoa huku bibi harusi akiwa katika furaha kubwa na kumshukuru mungu kwa kumuepusha mumewe katika ajali mbaya iliyotokea siku moja kabla ya ndoa kufungwa
Hapa Maharusi wakipata maombi ya ndoa njema kutoka kwa wachungaji mbalimbali wa kanisa hilo la AGAPE
"Alichokiunganisha Mungu, binadamu asikitenganishe." "Sasa tu mwili mmoja kitakachotutenganisha ni kifo tu, jina la bwana libarikiwe" |
Bwana harusi akipokea cheti cha ndoa toka kwa mchungaji Mwasota |
Maharusi wakiwa katika pozi la 'snap' na nyuso za furaha mara baada ya kufunga pingu za maisha |